Sunday, May 6, 2012

SIMBA AMLA MWANA WA JANGWANI UWANJA WA TAIFA

Mechi ya Kuwania ubingwa wa ligi kuu Vodacom Tanzania bara imemalizika dakika chache zilizopita katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Katika hali isiyoaminika Timu ya SIMBA imefanikiwa kuifunga YANGA kwa jumla ya bao 5 bila kelele.
SIMBA imetoa adhabu hiyo kali kwa YANGA ikiwa ni sehemu muhimu na pekee ya kudhihirisha ubingwa wake ambao ilifahamika hata kabla ya mchezo wa leo.Rekodi nzuri ya SIMBA katika mechi za ndani na kimataifa inatoa kibari kwa washabiki na wapenzi wa Msimbazi kuimiliki furaha ya mchezo msimu huu.
washabiki wa SIMBA wakiwa na furaha kubwa.....
                    na mwandishi wa konahabari uwanja wa taifa.....

1 comment:

  1. Karibuni konahabari, Leo tarehe 30/12/2021 kabisa la TAG limefanya mazishi ya askof mkuu mstaafu Pro. Ranwell Mwenisongole.

    ReplyDelete