Friday, March 30, 2012

ARSENAL WENGER AFUNGIWA MECHI TATU NA UEFA





Meneja wa Arsenal , Arsene Wenger wa amefungiwa mechi tatu za UEFA na kutozwa faini ya 40 000 ($ 53 100) kwa sababu ya kujibizana na maafisa wa mechi baada ya kutolewa katika ligi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya AC Milan mwezi huu.

UEFA ilisema Ijumaa kuwa Mfaransa huyo alipatikana na hatia ya mwenendo mbaya katika mzunguko wa pili wa raundi ya 16 ambayo Arsenal ilishinda 3-0 na kutolewa nje kwa jumla ya mabao 4-3.

" Arsene Wenger  amesimamishwa mechi tatu  za mashindano yajayo ya UEFA na badala yake Kocha msaidizi ndiye atakaye simamia timu katika mechi zote tatu


No comments:

Post a Comment