Wednesday, April 11, 2012

TISHIO LA TSUNAMI NCHINI....

Mamlaka ya hali ya hewa nchini imetoa tahadhari juu ya uwezekano wa kutokea Tsunami katika Pwani ya Tanzania kuanzia tarehe 11/04/2012 saa 11. Taarifa hii imekuja wakati ambapo mvua kubwa inaendelea kunyesha katika pwani ya Bahari ya Hindi na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Dar es salaam.                                                                                             
Wakati haya yakiripotiwa hapa Afrika mashariki, tetemeko kubwa la ardhi -( Tsunami )  limeripotiwa kutokea katika ufukwe wa Aceh nchini Indonesi.                                             
                                                                                                 
                                                           
       Tsunami huko Indonesia
Mvua kumbwa jijini Dar es salaam       
 
 

No comments:

Post a Comment